Mdahalo ulizuka baada ya tume ya haki za binadamu kufika mbele ya kamati ya bunge inayohusika na maswala ya ulinzi na mambo ya kigeni ya kutoa mchango wao wa mswada wenye utata wa NSIS . Hata hivyo shirika hilo la kijasusi la NSIS pia linatarajiwa kufika mbele ya kamati hiyo na kutoa maamuzi juu ya mswada huo.