Baadhi ya wanachama wa chama cha Alliance Party of Kenya wamepinga vikali hatua ya msimamizi wake waziri wa kawi Kiraitu Murungi kwa kumteua naibu waziri mkuu Uhuru Kenyatta kuwa mgombeaji rasmi wa chama cha BUS . Wanachama hao wanateta kuwa Kiraitu hakuzungumza na wanachama kabla ya kuamua kuwa uhuru kenyatta wa chama cha tna ndiye atakayepeperusha bendera ya chama hicho .