KTN Leo: Mseto wa siasa.

Added on August 10, 2012
Share this video on:
Baadhi ya wanachama wa chama cha Alliance Party of Kenya wamepinga vikali hatua ya msimamizi wake waziri wa kawi Kiraitu Murungi kwa kumteua naibu waziri mkuu Uhuru Kenyatta kuwa mgombeaji rasmi wa chama cha BUS . Wanachama hao wanateta kuwa Kiraitu hakuzungumza na wanachama kabla ya kuamua kuwa uhuru kenyatta wa chama cha tna ndiye atakayepeperusha bendera ya chama hicho .
Last Modified: 10 Aug 2012 21:31
RSS Feeds

Programme Schedule: 24-05-2013 23:20 EAT

On Air:

UpNext »»

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus