KTN Leo: Madereva wa teksi wauawa Makadara.

Added on August 10, 2012
Share this video on:
Je ni nani anayewauwa madereva wa teksi na kisha kutupa maiti zao eneo la Nairobi West? Ni maafa ambayo maafisa wa polisi wa kituo cha polisi cha langata wameshindwa kukomesha au hata kuwatia washukiwa nguvuni .kwa muda miezi mitatu sasa madereva wa teksi tisa wamepatikana wameuwa na kutupwa karibu na shule ya msingi ya madaraka.wote wameuawa kwa kupigwa mawe kichwani na watu wasiojulikana . Muthiriwa wa hivi majuzi ni Vincent Mburu ambaye kifo chake kimewaacha madereva wa teksi na wasi wasi mwingi.
Last Modified: 10 Aug 2012 21:26
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-05-2013 07:45 EAT

On Air: Joyce Meyer Ministries

UpNext »»

08:00Family Glory
09:00Tukuza Live Gospel Show
13:00News Desk
13:30Sunday Animated classics
15:00Glamorosa
16:00Mbiu ya KTN

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus