KTN Leo: Wakenya 11 wafariki katika ajali nchini Tanzania.

Added on August 10, 2012
Share this video on:
Jumla ya Wakenya 11 wamefariki katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea mjini tanga nchini Tanzania .Wakenya hao wengi wao walikuwa ni wanawake kutoka kanisa la pcea mjini thika walikuwa wakisafiri kuelekea mjini daresalam kwa mkutano wa kanisa pale ajali hiyo ilipotokea . Kwa mujibu wa maafisa wa polisi nchini tanzania . Zaidi ya watu 40 wamejeruhiwa katika ajali hiyo ya mapema asubuhi
Last Modified: 10 Aug 2012 21:25
RSS Feeds

Programme Schedule: 20-06-2013 05:47 EAT

On Air: CNNCNN

UpNext »»

06:00Sunrise Live
09:00Mid Morning Lifestyle
10:30Mariana and Scarlet
11:20World Strongest man
12:00Drive It
12:30Case files

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus