KTN Leo: Mwili tofauti mazishini

Added on August 09, 2012
Share this video on:
Kizaazaa kiliibuka mjini Kakamega hii leo baada ya familia moja kuchukua mwili usiokuwa wao na kuupeleka kanisani kwa ibada kabla ya mazishi. Wenyeji wa kijiji cha shironyanga walipigwa na butwaa walipogundua kuwa maiti waliokuwa wanaelekea kuizika ni ya mtu tofauti. Haya yote yakiendelea familia ya pili nao walikuwa wamejawa na hofu na hali ya kuchanganyikiwa wakidhani kuwa maiti ya jamaa yao ilikuwa imeibiwa. Mwanae marehemu agnes namusia, anasema palikuwa na vuta ni kuvute baina yake na dada zake kuhusu iwapo kweli walikuwa wamebeba maiti ya mama yao, na hapo ndipo wakauchukua mwili huo ambao ulikuwa wa mtu tofauti.iliwabidi kukatiza ibada na kurejesha maiti hiyo kwa jamaa zake.
Last Modified: 09 Aug 2012 22:38
RSS Feeds

Programme Schedule: 23-05-2013 05:25 EAT

On Air: CNNCNN

UpNext »»

06:00Sunrise Live
09:00Mid Morning Lifestyle
10:30Mariana and Scarlet
11:20World Strongest man
12:00Drive It
12:30Case files

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus