KTN Leo: Maadhimisho Ya Waathiriwa Wa Mkasa Wa Bomu

Added on August 07, 2012
Share this video on:
Leo ni Agosti tarehe saba, ikiwa ni siku ya maadhimisho ya waathiriwa wa mkasa wa mlipuko wa bomu, uliotokea hapa Nairobi mnamo mwaka wa 1998. Lakini anavyoripoti Frank Otieno, familia hizo zinahisi upweke kutokana na jinsi serikali inaonekana kunyamaza kuhusu maadhimisho hayo; kwani hii leo walijikusanya kimyakimya wakiwa hapa jijini Nairobi na kuwakumbuka wapendwa wao.
Last Modified: 07 Aug 2012 19:56
RSS Feeds

Programme Schedule: 18-05-2013 11:39 EAT

On Air: Straight-Up

UpNext »»

12:30Africa speaks
13:00Lunch Time News
13:35NBA Highlights
14:00NBA Basket Ball
15:00Sports Final
16:00Mbiu ya KTN

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus