KTN Leo: Wanyama Pori: Mkutano Wa Amboseli

Added on August 07, 2012
Share this video on:
Jamii ya Wamasaai hatimaye imefanya mkutano na Mkurugenzi wa Shirika la Wanyamapori nchini Julius Kipgetich. Kwa muda mrefu jamii hiyo imekuwa ikipanga kufanya mkutano na mkurugenzi huyo bila ya ufanisi wowote. Jamii hiyo inapania kutilia kikomo mzozo ambao umekuwa ukishuhudiwa baina yao na wanyama pori.miongoni mwa matakwa waliyoibua hii leo ni kupewa fidia kila mifugo yao pindi wanaposhambuliwa na wanyamapori kando na wao kutaka kunufaika kupitia mapato ya mbuga za wanyama.
Last Modified: 07 Aug 2012 19:53
RSS Feeds

Programme Schedule: 23-05-2013 00:32 EAT

On Air: CNN

UpNext »»

01:00CNN
06:00Sunrise Live
09:00Mid Morning Lifestyle
10:30Mariana and Scarlet
11:20World Strongest man
12:00Drive It

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus