Watu kadhaa wanazidi kujitokeza kusaidia walemavu wasiojiweza ilhali pesa zinazostahili kuwasaidia zinafujwa kama ilivyofichuliwa na wanahabari wa KTN katika makala maalum chauchau la kizezeta. Kutokana na hili familia moja mjini Mombasa imejitokeza na kuahidi kuwaelimisha watoto waliobakia mayatima na ambao mmoja wao pia ni bubu. Hiyo ni kando na kuwapa msaada wa vyakula. Familia hiyo inahimiza watu zaidi kuthamini utu na kuwasaidia wasiojiweza. John Juma na maelezo zaidi