Pale maafisaa wa shirika la umoja wa matifa kuhusu mazingira walipozuru eneo la Nyeri hivi maajuzi walisononeshwa na hali ya mazingira mabaya hususan mito ya eneo hilo ambayo imechafuliwa na taka za kila aina. Hilo ndilo swala ambalo mwanahabari wa ktnleo kutoka mkoa wa kati carol ndferi analolipigia mbizi hasa baada ya kuzuru baadhi ya mito hio.