KTN Leo: IEBC yashtumiwa.

Added on August 02, 2012
Share this video on:
Tume ya uchaguzi na mipaka iebc hii leo ilifika mbele ya tume ya utekelezaji wa katiba CIOC na kamati ya bunge kuhusu sheria kueleza ni kwanini walikatiza zabuni ya usajili wa wapiga kura kupitia mfumo wa elektroniki. Mwenyekiti wa tume hiyo isaack hassan alieleza kuwa kampuni zote walizofanyia uchunguzi hazikufaulu kupewa kandarasi hiyo. Kwa mujibu wa tume hiyo ni kwamba lengo lao kuu ni kuandaa uchaguzi wa huru na haki
Last Modified: 02 Aug 2012 20:45
RSS Feeds

Programme Schedule: 24-05-2013 14:29 EAT

On Air: Afri Screen

UpNext »»

16:00Mbiu ya KTN
16:10KTN Kids
17:00IZ Vipi Mashariki
18:00Prem
18:30KTN Leo
19:30Hapa Kule News

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus