Polisi kutoka eneo la Athiriver wanamsaka dereva wa basi la shule ya watoto ya msingi ya Accacia. Patrick Kuria Ndung'u anatafutwa kwa kusababisha vifo vya watoto watatu wa shule ya msingi baada ya kuvunja kanuni za barabarani. Familia hizo zimewachwa na majonzi baada ya kupoteza watoto wao. Mwanahabari Saida Swaleh na mengi kuhusu taarifa hiyo.