KTN Leo: Mgomo Wa Madaktari Wa Hospitali Ya St Marys

Added on August 01, 2012
Share this video on:
Madakitari na wauguzi wa hospitali ya St.Mary’s katika mtaa wa Langata walifanya mgomo wakilalamikia kutatizwa katika utoaji huduma kufuatia mvutano baina ya mwanzilishi wa hospitali hiyo na kanisa katoliki. Aidha madakitari wawili wamekamatwa na polisi kwa madai ya kupuuza kesi inayoendelea mahakamani kuhusu umiliki wa hospitali hiyo. Isabella Kituri anatupasha zaidi.
Last Modified: 01 Aug 2012 20:31
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-05-2013 19:34 EAT

On Air: Jaramanda la Uhalifu

UpNext »»

20:00Kenya Kona
21:00KTN Weekend Prime
21:50Mariana and Scarlet
22:50Spin circle

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus