KTN Leo: Watu walio na ulemavu

Added on July 28, 2012
Share this video on:
Mara nyingi katika maisha yetu kama wanadamu sisi hukutana na changamoto na vikwazo vingi ambavyo hutufanya tufe moyo na kukosa tamaa ya kuendelea na maisha. Lakini cha msingi kwetu ni kukabiliana na matatizo haya na kusukuma maisha mbele. Ndio uamuzi uliofanywa na jamaa mmoja aliyepofuka katika maisha yake ya utu uzima na kuhisi kuwa ndoto yake ilikuwa imekatizwa. Katika makala maalum, mwanahabari wetu Carol Nderi alizungumza na mwalimu mmoja kutoka Othaya, Paul Kiragu aliyepoteza uwezo wake wa kuona na kumbidi kubadilisha mkondo wake wa maisha.
Last Modified: 28 Jul 2012 20:06
RSS Feeds

Programme Schedule: 22-05-2013 16:23 EAT

On Air: KTN Kids

UpNext »»

17:00IZ Vipi Mashariki
18:00Hollywood Heights
18:30KTN Leo
19:30Pasua rpt
20:00Guiness Football Challenge
21:00KTN Prime

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus