KTN Leo: ODM yabadilisha katiba

Added on July 27, 2012
Share this video on:
Chama cha ODM kimebadilisha katiba yake kuwaruhusu wanachama wowote kuwania kiti cha urais. Mwafaka huu ulifikiwa katika mkutano wa baraza kuu la chama hicho. Hapo awali katiba ilimruhusu kiongozi wa chama Raila Odinga kuwa mgombeaji wa kipekee na kupelekea aliyekuwa makamu wake musalia mudavadi kukihama chama hicho. Kiongozi wa chama raila odinga na mwenyekiti henry kosgey walitangaza kuwa hawataungana kumziba yeyote asikipate kiti cha urais.
Last Modified: 27 Jul 2012 20:41
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-06-2013 10:28 EAT

On Air: El Clon rpt

UpNext »»

11:00Tujuane
12:00DW shift
12:30Perspective rpt
13:00News Desk
13:30Kick off Bundesliga
14:30Afri Screen

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus