KTN Leo: Masomo Wakati Wa Likizo

Added on July 25, 2012
Share this video on:
Hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya shule na wahusika wake wanao waacha wanafunzi kuendelea na masomo wakati wa likizo ,haya ni kwa mujibu wa Waziri wa Elimu Mutula Kilonzo.Waziri Mutula alidokeza kuwa ni jukumu la shule na walimu kujikakamua kuhakikisha kuwa wanakamilisha mtaala wa elimu kwa wakati ufaao bila kuingilia likizo ya wanafunzi.
Last Modified: 25 Jul 2012 19:17
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-06-2013 05:40 EAT

On Air: CNN

UpNext »»

06:00Sunrise Live
09:00Mid Morning Lifestyle
10:00El Clon rpt
11:00Tujuane
12:00DW shift
12:30Perspective rpt

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus