KTN Leo: Uvundo uliofichika katika bohari za Mombasa

Added on July 20, 2012
Share this video on:
Baada ya watu watano kufariki ndani ya bohari mjini mombasa mapema wiki hii walipoporomokewa na magunia ya mchele, sasa inabainika kuwa bohari nyingi nchini hasa mombasa hazikaguliwi kamwe na serikali. Hali hiyo imeacha maisha ya wafanyikazi wengi kuwa katika hatari kubwa. Kadhalika hali hiyo imeruhusu biashara nyingi haramu mfano ulanguzi wa mihadarati kuendeshwa kisiri. Maafisa wa polisi nao wanalaumiwa kupokea hongo kutoka kwa wamiliki wa bohari hizo ili kuficha ukweli kila wafanyikazi wanapotaka kufichua. John juma anapigia darubini masaibu ya wafanyikazi na uvundo uliofichika katika bohari za mombasa
Last Modified: 20 Jul 2012 22:56
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-06-2013 00:18 EAT

On Air: CNN

UpNext »»

06:00Sunrise Live
09:00Mid Morning Lifestyle
10:00El Clon rpt
11:00Tujuane
12:00DW shift
12:30Perspective rpt

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus