KTN Leo: Majaji walioshindwa kutekeleza wajibu watajwa

Added on July 20, 2012
Share this video on:
Majaji wa mahakama ya juu nchini Mohammed Ibrahim na Roselyne Wendo wametajwa kuwa mmoja wa majaji ambao walishindwa kutekeleza wajibu wao katika idara ya mahakama nchini. Wakitoa uamuzi huo bodi ya kuwapiga msasa majaji iliongozwa na mwenyekiti wake sharad rao, aidha ilimtaja jaji mwenza wa mahakama hio jaji jackton ojwang kuwa na uwezo wa kuhudumia idara ya mahakama. Aidha bodi hio haikutoa maamuzi dhidi ya majaji 3 ambao kwa wanasimamia kesi ya tarehe ya uchaguzi. Ali manzu na taarifa hio.
Last Modified: 20 Jul 2012 22:55
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-05-2013 14:50 EAT

On Air: Sunday Animated classics

UpNext »»

15:00Glamorosa
16:00Mbiu ya KTN
16:10Glamorosa
17:00Samantha Bridal Show
18:00Property show
18:30KTN Leo

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus