KTN Leo: Majaji walioshindwa kutekeleza wajibu watajwa

Added on July 20, 2012
Share this video on:
Majaji wa mahakama ya juu nchini Mohammed Ibrahim na Roselyne Wendo wametajwa kuwa mmoja wa majaji ambao walishindwa kutekeleza wajibu wao katika idara ya mahakama nchini. Wakitoa uamuzi huo bodi ya kuwapiga msasa majaji iliongozwa na mwenyekiti wake sharad rao, aidha ilimtaja jaji mwenza wa mahakama hio jaji jackton ojwang kuwa na uwezo wa kuhudumia idara ya mahakama. Aidha bodi hio haikutoa maamuzi dhidi ya majaji 3 ambao kwa wanasimamia kesi ya tarehe ya uchaguzi. Ali manzu na taarifa hio.
Last Modified: 20 Jul 2012 22:55
RSS Feeds

Programme Schedule: 22-05-2013 00:13 EAT

On Air: Late Night News

UpNext »»

00:15CNN
06:00Sunrise Live
09:00Mid Morning Lifestyle
10:00El Clon rpt
11:00Tujuane
12:00DW shift

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus