KTN Leo: Watoto walemavu waachwa hospitalini

Added on July 20, 2012
Share this video on:
Baadhi ya watoto wanaopelekwa hospitalini wakiwa wamezaliwa na ulemavua upungufu mmoja au mwengine hutelekezwa na wazazi wao kwani wanatizamwa kama wenye kuleta aibu au wasumbufu kwao . Katika hospitali kuu ya Kenyatta KTN imebaini kuwa kunao zaidi ya watoto watano wanaoachwa kila mara na wazazi baada ya kuonekana kuwa na hali mbaya ya kiafya . Agnes penda alizuru hospitali hiyo na kutuandalia taarifa kuhusu watoto hao ambao wamesalia bila walezi .
Last Modified: 20 Jul 2012 22:55
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-05-2013 18:11 EAT

On Air: Property show

UpNext »»

18:30KTN Leo
19:30Jaramanda la Uhalifu
20:00Kenya Kona
21:00KTN Weekend Prime
21:50Mariana and Scarlet
22:50Spin circle

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus