KTN Leo: Watoto walemavu waachwa hospitalini

Added on July 20, 2012
Share this video on:
Baadhi ya watoto wanaopelekwa hospitalini wakiwa wamezaliwa na ulemavua upungufu mmoja au mwengine hutelekezwa na wazazi wao kwani wanatizamwa kama wenye kuleta aibu au wasumbufu kwao . Katika hospitali kuu ya Kenyatta KTN imebaini kuwa kunao zaidi ya watoto watano wanaoachwa kila mara na wazazi baada ya kuonekana kuwa na hali mbaya ya kiafya . Agnes penda alizuru hospitali hiyo na kutuandalia taarifa kuhusu watoto hao ambao wamesalia bila walezi .
Last Modified: 20 Jul 2012 22:55
RSS Feeds

Programme Schedule: 23-05-2013 17:39 EAT

On Air: IZ Vipi Mashariki

UpNext »»

18:00Prem
18:30KTN Leo
19:30Business Focus
20:00El Clon
21:00KTN Prime
21:50Live Wire

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus