KTN Leo: Mombasa: Maombi Dhidi Ya Ajali Barabarani

Added on July 19, 2012
Share this video on:
Madereva, Makondakta na wakazi wa eneo la Mazeras Mombasa mapema leo wamefanya maombi ya kipekee kufukuza mapepo ya ajali ambayo wanadai yamekuwa yakisababisha ajali kila uchao katika eneo la Bonje na kuua watu. Kwa kipindi cha majuma mawili yaliyopita zaidi ya ajali tatu zimetokea eneo lilo hilo na takriban watu 20 wamekufa. tunampisha John Juma na ripoti ya kina.
Last Modified: 19 Jul 2012 18:49
RSS Feeds

Programme Schedule: 22-05-2013 00:00 EAT

On Air:

UpNext »»

00:15CNN
06:00Sunrise Live
09:00Mid Morning Lifestyle
10:00El Clon rpt
11:00Tujuane
12:00DW shift

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus