Mary Keitany, mmoja wa wanariadha watatu wa kike kuwakilisha kenya katika mashindano ya marathon katika olimpiki ya London anasema kuwa kushiriki kwake kwa mashindana ya Aprili mwaka huu na mwaka jana itamfaidi pakubwa wakati wa olimpiki. Keitany ambaye pamoja na priscah jeptoo na edna kiplagat watawakilisha kenya mwezi ujao, anasema kuwa licha ya ile mzukumo wa kufanya vyema, yuko tayari kushinda medali ya dhahabu.