Jamaa na marafiki waliuungana kwa pamoja na rais aliyestaafu Daniel Arap Moi kwa mazishi ya mkwe wake Elma Tungo Birir katika kijiji cha Kipsogon wilayani Mogotio kaunti ya Baringo . Sifa zilimininiwa kuhusu maisha ya elma zikiwemo kama mpenda watu,mcha mungu na vile vile aliyekuwa mshauri haswa kwa wanawe, wajukuu majirani na marafiki kwa ujumla.