KTN Leo: Raila azungumza kuhusu Shelter Afrique

Added on July 14, 2012
Share this video on:
Waziri mkuu Raila Odinga ametaka wamiliki wa shirika la shelter afrique kuondoa kinga za kidiplomasia dhidi ya mkurugenzi mtendaji wa shirika hilo, alasan ba, ili aweze kushitakiwa chini ya sheria za Kenya. Karen Kandie ambaye ni mfanyakazi wa shirika hilo anadai kudhulumiwa na alasan. raila ameonya kuwa iwapo shirika hilo halitaondoa kinga za kidiplomasia, ataagiza waziri wa mambo ya nje pamoja na mkuu wa sheria kumfurusha raia huyo wa kigeni.
Last Modified: 14 Jul 2012 21:35
RSS Feeds

Programme Schedule: 21-05-2013 16:08 EAT

On Air: Mbiu ya KTN

UpNext »»

16:10KTN Kids
17:00IZ Vipi Mashariki
18:00Hollywood Heights
18:30KTN Leo
19:30Just for laughs
20:00Tujuane

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus