KTN Leo: Ng'ombe wa Ankole za Nyeri

Added on July 14, 2012
Share this video on:
Sekta ya utalii inasalia juu kwenye orodha ya zile zinazoinua uchumi wa kenya. Na japo wengi wanafahamu vyema wanyama wanaojumuishwa kwenye sekta hii,wachache wanajua kuhusu ngombe spesheli wanaojulikana kama ankole. Ngombe hawa wana pembe ndefu mno kiasi cha kuwashangaza wengi iwapo hao ni ngombe. Ni wanyama kutoka nchi jirani ya uganda wanaohifadhiwa katika hifadhi moja huko laikipia. Ankole waliletwa kutoka uganda katika mwaka wa 2004 kwasababu wamo katika hatari ya kuangamia kwa kiingereza . Carol Nderi alizuru hifadhi ya ol pejeta laikipia na kutuandalia taarifa ifuatayo.
Last Modified: 14 Jul 2012 21:31
RSS Feeds

Programme Schedule: 22-05-2013 00:55 EAT

On Air: CNN

UpNext »»

06:00Sunrise Live
09:00Mid Morning Lifestyle
10:00El Clon rpt
11:00Tujuane
12:00DW shift
12:30Perspective rpt

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus