Features: Technology Vs Taboo: Mama Wajawazito

Added on July 11, 2012
Share this video on:
Huku Ulimwengu ukiadhimisha siku ya Kimataifa ya idadi ya watu, ni wazi kwamba watu wanaongezeka sawia na idadi ya vifo inayoendelea kuongezeka. Kina mama wajawazito ndio wanaoathirika pakubwa,jambo lililopelekea kampuni ya Phillips kutekeleza mojawapo ya malengo ya millennia kwa kutoa vifaa vya kuangalia kizazi haswa kwa waja wazito kwa kimombo ultra scan machine. Hata hivyo wakazi wa kijiji kimoja huko Uasin Gishu wameelezea hofu zao dhidi ya kifaa hicho ambacho ni kigeni mbele ya macho yao na badala yake kusema kuwa wameridhika na huduma za wakunga.
Last Modified: 11 Jul 2012 20:46
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-05-2013 07:06 EAT

On Air: A moment with God

UpNext »»

07:30Joyce Meyer Ministries
08:00Family Glory
09:00Tukuza Live Gospel Show
13:00News Desk
13:30Sunday Animated classics
15:00Glamorosa

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus