Polisi kutoka kitengo cha kupambana na ugaidi wanaamini kuwa kungali na kilo zaidi zilizosafirishwa humu Nchini za kemikali aina ya RDX inayotumika katika kutengeneza mabomu. Haya yanajiri huku raia wawili wa Iran wakifika mahakamani hii leo na kuiomba serikali iwaachilie kwa dhamana huku uchunguzi dhidi ya kesi inayowakabili ukiendelea.