KTN Leo: Mashabulizi Ya Garissa: Ibada Ya Wafu

Added on July 10, 2012
Share this video on:
Ibada ya Wafu ilifanywa huko Mwingi kwa watu kumi waliofariki kufuatia mashambulizi yaliyotekelezwa katika makanisa mawili tofauti huko Garissa wiki moja iliyopita. Makamu wa Rais Kalonzo Musyoka aliwaongoza wenyeji wa eneo hilo katika kutoa heshima za mwisho kwa waumini hao wa kanisa la AIC ambao walikutana na mauti yao wakiwa kanisani. Kwenye ibada hiyo idara ya polisi ililaumiwa vikali , kwa kile kinachotajwa kuwa uzembe wa kuhakikisha usalama umedumishwa kote Nchini. Frank Otieno alihudhuriashughuli hiyo na sasa anatupasha zaidi.
Last Modified: 10 Jul 2012 19:08
RSS Feeds

Programme Schedule: 20-06-2013 13:24 EAT

On Air: News Desk

UpNext »»

13:30IAAF Athletics
14:00Afri Screen
16:00Mbiu ya KTN
16:10KTN Kids
17:00IZ Vipi Mashariki
18:00Prem

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus