KTN Leo: Mashabulizi Ya Garissa: Ibada Ya Wafu

Added on July 10, 2012
Share this video on:
Ibada ya Wafu ilifanywa huko Mwingi kwa watu kumi waliofariki kufuatia mashambulizi yaliyotekelezwa katika makanisa mawili tofauti huko Garissa wiki moja iliyopita. Makamu wa Rais Kalonzo Musyoka aliwaongoza wenyeji wa eneo hilo katika kutoa heshima za mwisho kwa waumini hao wa kanisa la AIC ambao walikutana na mauti yao wakiwa kanisani. Kwenye ibada hiyo idara ya polisi ililaumiwa vikali , kwa kile kinachotajwa kuwa uzembe wa kuhakikisha usalama umedumishwa kote Nchini. Frank Otieno alihudhuriashughuli hiyo na sasa anatupasha zaidi.
Last Modified: 10 Jul 2012 19:08
RSS Feeds

Programme Schedule: 22-05-2013 05:20 EAT

On Air: CNN

UpNext »»

06:00Sunrise Live
09:00Mid Morning Lifestyle
10:00El Clon rpt
11:00Tujuane
12:00DW shift
12:30Perspective rpt

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus