KTN Leo: Darubini Father Romano Filipe

Added on July 09, 2012
Share this video on:
Mara nyingi idadi kuu ya watumishi wa Mungu wakiwemo makasisi na mapadre hutimiza majukumu yao ya kueneza injili bila ya kugusia masuala ya ziada. Lakini katika eneo la Kieni kaunti ya Nyeri, padre mmoja wa Kikatoliki anafahamika mno kama mwanzilishi wa miradi mbalimbali inayowanufaisha wakaazi wa Mlima Kenya. Ni raia wa Italy lakini ameishi Kenya tangu mwaka wa 1971 na kutangamana na wakaazi kiasi cha kufahamu lugha wanayoizungumza. Sio mwingine bali ni Father Romano Filipe kutoka nchi ya Italy na anayefahamika zaidi na wenyeji kama mzungu anayezungumza Kikuyu kwa ufasaha. Mwanahabari wetu Carol Nderi alikutana na Father Romano na amemhoji katika makala ya leo ya darubini.
Last Modified: 09 Jul 2012 20:39
RSS Feeds

Programme Schedule: 23-05-2013 03:20 EAT

On Air: CNNCNN

UpNext »»

06:00Sunrise Live
09:00Mid Morning Lifestyle
10:30Mariana and Scarlet
11:20World Strongest man
12:00Drive It
12:30Case files

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus