1 KTN Video | Mshukiwa wa ugaidi aachiliwa huru

KTN Leo: Mshukiwa wa ugaidi aachiliwa huru

Added on July 09, 2012
Share this video on:
Mahakama ya Mombasa imemwachilia huru jamaa aliyeshukiwa kutekeleza shambulizi la kigaidi eneo la Mshomoroni wiki mbili zilizopita na kusababisha vifo vya watu watatu. Mahakama hiyo imesema polisi hawakuweza kutoa ushahidi wa kutosha katika kuthibitisha kuwa jamaa huyo alihusika. Wakti huo huo viongozi wa dini na madhehebu yote mjini Mombasa pamoja na viongozi wa vyombo vya usalama eneo hilo wamekubali kushirikiana ili kuondoa hofu ya uwezekano wa kuchipuka kwa uhasama wa kidini kutokana na mashambulizi ya kigaidi ambayo yamekuwa yakilenga makanisa.
Last Modified: 09 Jul 2012 19:52
RSS Feeds

Programme Schedule: 20-06-2013 07:26 EAT

On Air: Sunrise Live

UpNext »»

09:00Mid Morning Lifestyle
10:30Mariana and Scarlet
11:20World Strongest man
12:00Drive It
12:30Case files
13:00News Desk

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus