Mwanadada Janet Kepkosgei ,Pamela Jelimo pamoja na Eunice Sum wataipeperusha bendera ya Kenya katika mashindano ya olimpiki katika mbio za mita mia nane. Mwanahabari Victor Ogalle alikutana na janet katika uwanja wa kasarani akifanya mazoezi yake na anatuelezea zaidi katika taarifa ifuatayo.