Kenya ni mojawapo ya taifa lenye wasomi wengi katika kanda ya Afrika mashariki na kati. Lakini Wakenya wengi hawapendi kusoma vitabu kama njia mojawapo ya kujiimarisha kielimu ikilinganishwa na matiafa ya Magharibi. Wataalamu wamesema kuwa kuna haja ya wakenya kusoma vitabu zaidi ili kutimiza malengo ya Milenia