KTN Leo: Serikali yaimarisha usalama

Added on July 05, 2012
Share this video on:
Serikali imeelekeza maafisa mia saba wa usalama katika mkoa wa kaskazini na kuwahamisha wakuu wa mikoa katika juhudi za kuimarisha usalama kwenye mipaka ya kenya na humu nchini. Kaimu waziri wa usalama wa nchi yusuf hajji alisema hatua hiyo itaepusha taifa na maafa. Aidha rais mwai kibaki amesema kenya haitotishwa na magaidi katika juhudi za kurejesha amani mpakani mwa kenya na somalia. Wakati huohuo makamu wa rais kalono musyoka na waziri mkuu raila odinga wameshinikiza wananchi kusaidia maafisa wa usalama kuimarisha uchunguzi.
Last Modified: 05 Jul 2012 20:36
RSS Feeds

Programme Schedule: 24-05-2013 16:50 EAT

On Air: KTN Kids

UpNext »»

17:00IZ Vipi Mashariki
18:00Prem
18:30KTN Leo
19:30Hapa Kule News
20:00El Clon
21:00KTN Prime

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus