Baada ya KTN kupeperusha taarifa ya jamaa mmoja aliyedai aliporwa fedha zake alipokuwa akitoka benki na watu wanne waliokuwa polisi hii leo mmoja wa washukiwa alifikishwa mahakamani kusikiza mashtaka dhidi yake huku Mahakama ikimuamuru kurudi tena siku ya ijumaa, huku hayo yakiarifiwa KTN imebaini kwamba takriban watu ishirini walifika katika kituo cha Polisi cha viwandani kulalamikia kuporwa baada ya kuiona taarifa ya Crispin Ochieng’ siku ya Ijumaa