Afisa mshukiwa wa wizi wa mabavu ametiwa nguvuni hii leo baada ya ktn leo kuangazia taarifa hio kupitia simulizi la crispin otieno aliyeibiwa shillingi elfu tisini.afisa alimshinikiza otieno kuingia ndani ya gari na kumpora pesa hizo kabla ya kumrusha nje ya gari eneo la ole sereni.otieno alimtambua mshukiwa baada ya maafisa wa polisi kupangwa folen katika kituo cha polisi cha i eneo la viwandani na kutakiwa kumtambua mshukiwa.lakini otieno anasema ni maafisa wa wachache tu wlaiofikishwa mbele yake na washukiwa wengine wanne bado wako huru.purity mwambia amekuwa akifuatilia taarifa hiyo