Maafisa wa polisi wanaidaiwa kumuibia mfanyabishara mmoja shillingi elfu tisini dakika chache baada ya yeye kutoa fedha hizo kutoka kwa benki moja eneo la viwandani.mfanyabaishara huyo crispin otieno anawafahamu maafisa hao ambao hadi sasa hawajachukuliwa hatua yeyote .licha ya kuandikisha taarifa katika kituo cha polisi cha viwandnai anasema hakuna hatua zilichokuliwa.maafisa wa polisi katika kituo hicho wamerufu ktn leo kwamba bado wanaendeleza uchunguzi wao.otiene kwa sasa anahofia usalama wake ,na swali kuu anauliza afisa wa polisi aliyetwikwa jukumu la kulinda watu atageuka vipi kwua mwizi?