Balozi wa Marekani Nchini Scott Gration amejiuzulu. Gration amejiuzulu kutokana na tofauti kuibuka mjini Washington kuhusu mbinu yake ya uongozi. Mnamo tarehe 28 mwezi huu Ubalozi wa Marekani jijini Nairobi uliadhimisha sherehe ya washoga sherehe ambayo ilikuwa ya kwanza kuwahi kufanyika nchini. Adhimisho hilo ambalo ni sehemu ya sera za uongozi wa Raisi Obama kutetea haki za mashoga limekashifiwa vikali na viongozi nchini Kenya. Mary Kilobi ana zaidi.