KTN Leo: Familia Ya Saitoti Kuhusu Uchunguzi Wa Ajali

Added on June 26, 2012
Share this video on:
Familia ya marehemu Prof. GeorgeSaitoti kupitia wakili wao Fred Ngatia imelalamikia vikali kucheleweshwa kwa uchunguzi wa ajali ya helikopta iliyomuua Saitoti pamoja na naibu wake Orwa Ojode mnamo Juni tarehe kumi mwaka huu wa 2012. Lalama hizo zimejitokeza pale wakili huyo pamoja na nduguze marehemu Saitoti walipotembelea eneo la mkasa huo katika Kibiku katika msitu wa Ngong.
Last Modified: 26 Jun 2012 19:29
RSS Feeds

Programme Schedule: 25-05-2013 20:53 EAT

On Air: El Clon

UpNext »»

21:00KTN Weekend Prime
21:50Box Office Movie: Someone Like you
23:00NBA Highlights rpt
23:30Spin circle

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus