Sasa ikulu ya rais imejitenga na madai ya mbunge wa Lugari Cyrus Jirongo kwamba wapo Musalia Mudavadi ni kigaragosi cha rais Mwai Kibaki kwenye uchaguzi wa kuurithi urais kwenye uchaguzi mkuu ujao. Ikulu imetoa taarifa kwa vyombo vya habari ikimshambulia Jirongo ajiepushe na matamshi ya kuitajataja ilkulu kila saa. Munira Mohamed anayo taarifa hiyo kwa ukamilifu.