KTN Leo: Shambulizi la grunedi Mombasa

Added on June 25, 2012
Share this video on:
Taharuki na huzuni imetanda mjiniMombasa kufuatia mlipuko uliotokea usiku na kusababisha vifo vya watu watatu na kuacha zaidi ya watu ishirini na majeraha mabaya. Wakazi wa mji huo hasa walioathiriwa wameghadhabika jinsi vyombo vya usalama vinatoa hakikisho kuwa usalama upo imara ilhali wanazidi kushambuliwa na jamaa zao kupoteza maisha. Mwanahabari wa KTN mjini Mombasa, John Juma anayo taarifa hiyo kwa ukamilifu.
Last Modified: 25 Jun 2012 19:54
RSS Feeds

Programme Schedule: 22-05-2013 13:03 EAT

On Air: News Desk

UpNext »»

13:30Kick off Bundesliga
14:30Afri Screen
16:00Mbiu ya KTN
16:10KTN Kids
17:00IZ Vipi Mashariki
18:00Hollywood Heights

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus