“Tumesimamisha kwa muda waKenya kusafiri nchi za Uarabuni kutafuta ajira haswa za mayaya”ndio msimamo wa Serikali uliotolewa katika taarifa iliotumwa kwa vyombo vya habari. imekuwa jambo la kawaida kwa vyombo vya habari kupeperusha taarifa ambazo ni za kughadhabisha kutoka kwa waKenya walioko nchi za Uarabuni.