Mwanariadha wa mbio za mita mia nane Boaz Lalang amekosa kufuzu kwa mashindano ya Olimpiki baada ya kutomaliza shindano kwenye mashindano ya mchujo wa Olimpiki katika uwanja wa michezo wa Nyayo.Na kama mwanahabari Victor Ogalle anavyotuarifu ni wanariadha 34 waliofuzu kukimbia kwenye fainali Jumamosi hii.