Mbuga ya Wanyama Tsavo, imechukua zaidi ya asilimia 60 ya jumla ya ardhi ya Jamii ya Wataita, kando na hilo mgogoro kati ya wanyama na wanadamu umekithiri kiasi kwamba wakazi wanadai serikali inathamini wanyama kuliko wao. John Juma alizuru maeneo hayo na anafichua machozi shubiri ya raia kutokana na usumbufu wa Wanyama pori hasa Ndovu.