Sports: FKF yasaka kocha wa kigeni

Added on June 20, 2012
Share this video on:
Yamkini shirikisho la soka nchini linasaka kocha kutoka nje kuepukana na fedheha alizojipata nazo kocha Francis Kimanzi huku mbinu ya kujumuisha na kutafuta wachezaji vikimtia kitanzi na kupigwa kalamu hapo jana.haya yanajiri huku naibu mwenyekiti wa shirikisho hilo Sammy Sholei akitoa kero zake kwa kutojumuishwa katika uamuzi wowote wa shirikisho hili na sasa anapeleka malalamiko yake nungeni. Hassan Jumaaa na taarifa hiyo.
Last Modified: 20 Jun 2012 19:58
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-06-2013 15:47 EAT

On Air: Afri Screen

UpNext »»

16:00Mbiu ya KTN
16:10KTN Kids
17:00IZ Vipi Mashariki
18:00Hollywood Heights
18:30KTN Leo
19:30Pasua rpt

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus