Sports: FKF yasaka kocha wa kigeni

Added on June 20, 2012
Share this video on:
Yamkini shirikisho la soka nchini linasaka kocha kutoka nje kuepukana na fedheha alizojipata nazo kocha Francis Kimanzi huku mbinu ya kujumuisha na kutafuta wachezaji vikimtia kitanzi na kupigwa kalamu hapo jana.haya yanajiri huku naibu mwenyekiti wa shirikisho hilo Sammy Sholei akitoa kero zake kwa kutojumuishwa katika uamuzi wowote wa shirikisho hili na sasa anapeleka malalamiko yake nungeni. Hassan Jumaaa na taarifa hiyo.
Last Modified: 20 Jun 2012 19:58
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-06-2013 00:38 EAT

On Air: CNN

UpNext »»

06:00Sunrise Live
09:00Mid Morning Lifestyle
10:00El Clon rpt
11:00Tujuane
12:00DW shift
12:30Perspective rpt

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus