KTN Leo: Imara Aungana na Kudi la Raila

Added on June 18, 2012
Share this video on:
Vuguvugu la Marafiki wa Raila, FORA, limepata mlezi mpya aliyejiunga katika harakati za kuhakikisha Waziri Mkuu Raila Odinga atashinda uchaguzi mkuu ujao. Mbunge wa Imenti ya Kati Gitobu imanyara, ambaye alitangazwa naibu mlezi wa FORA, alisema hatua hiyo ni mojawapo ya mikakati ya kuhakikisha Kenya inapata viongozi wenye misingi ya kubadilisha taswira ya siasa za Kenya. Aidha Waziri Mkuu Raila Odinga alisema wataunganisha viongozi zaidi waliohusika katika mageuzi ya demokrasia ya taifa hili katika kampeini yake. Sherehe hio iliandaliwa katika makao makuu ya FORA kama anavyoarifu Ali Manzu.
Last Modified: 18 Jun 2012 21:39
RSS Feeds

Programme Schedule: 21-05-2013 18:27 EAT

On Air: Hollywood Heights

UpNext »»

18:30KTN Leo
19:30Just for laughs
20:00Tujuane
21:00KTN Prime
21:50KNICE
22:30Football Review

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus