KTN Leo: Ojode azikwa nyumbani mwake, Ndhiwa

Added on June 18, 2012
Share this video on:
Biwi la simanzi lilitanda katika eneo bunge la Ndhiwa, wakati wa mazishi ya aliyekuwa waziri msaidizi katika wizara ya usalama wa kitaifa hayati Joshua Orwa Ojode. Marehemu Ojode ametajwa kama kiongozi mcheshi, mwenye bidii na aliyejitolea sana kwa kile alichokifanya. Rais Mwai Kibaki na viongozi wengine waliohutubu katika hafla hiyo waliwataka wakenya wote kudumishi amani kama njia mojawapo ya kutimiza safari ambayo wawili hao walikuwa wameainza. Kibarua kilichoko kwa sasa ni kusaka viongozi watakaochukua nafasi ya ojode na aliyekuwa waziri wa usalama wa kitaifa marehemu profesa George Saitoti.
Last Modified: 18 Jun 2012 10:17
RSS Feeds

Programme Schedule: 24-05-2013 21:57 EAT

On Air: Case files

UpNext »»

22:30World Strongest man
23:15Spin circle

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus