Sports: Magelo ashinda kwenye uchaguzi wa AFC

Added on June 18, 2012
Share this video on:
Alex ole Magelo amechaguliwa tena kama mwenyekitit wa klabu ya AFC Leopards huku winstone kituyi akichaguliwa kama kaimu wake katika uchaguzi mkuu wa klabu hiyo katika uwanja wa michezo wa nyayo. Kwa mujibu wa mwenyekiti huyo maafisa hao wapya wananuia kufanya mabadiliko katika katiba ya klabu hiyo kando na kuongeza muda wa maafisa hao. Mwanahabari Victor Ogalle alihudhuria uchaguzi huo na kuandaa taarifa ifuatayo.
Last Modified: 18 Jun 2012 10:15
RSS Feeds

Programme Schedule: 26-05-2013 07:51 EAT

On Air: Joyce Meyer Ministries

UpNext »»

08:00Family Glory
09:00Tukuza Live Gospel Show
13:00News Desk
13:30Sunday Animated classics
15:00Glamorosa
16:00Mbiu ya KTN

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus