Walijitokeza kwa idadi kuu ili kushuhudia dakika za mwisho za kiongozi wao, mwendazake Joshua Orwa Ojode. Lakini kulikuwa na vuta nikuvute katikati ya shughuli hiyo huku wakaazi wa eneo bunge la Ndhiwa wakilazimika kusukumana na wasimamizi wa mazishi hayo.