Mechi ya maondoano ya kombe la bara afrika kati ya kenya na togo itaendelea kama ilivyopangwa licha ya visa vya ghasia ambavyo vimekumba mji mkuu wa togo lome kuanzia siku ya jumatatu. serikali ya nchi hiyo imetoa hakikisho ya kuwa nausalama wa kutosha katika mechi hiyo itakayochezwa hapo kesho.