KTN Leo: Kongamano kuhusu amani lakamilika Mombasa

Added on June 09, 2012
Share this video on:
Kongamano la siku mbili kujadili mikakati ya amani kabla ya uchaguzi mkuu ujao limekamilika huku vyombo vya usalama nchini vikitoa tahadhari na maonyo makali kwa wanasiasa dhidi ya kutumia mbinu zinazoweza kulemaza amani kama vile kujenga uhusiano na makundi haramu na kutumia lugha ya uchochezi katika kampeni na mikutano ya kisiasa. Na hata waliohudhuria walipofumukana ujumbe mkuu waliotoka nao baada ya kukaririwa na kila mnenaji ni kuhakikisha amani ipo imara katika msimu wa uchaguzi.
Last Modified: 09 Jun 2012 22:39
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-06-2013 00:58 EAT

On Air: CNN

UpNext »»

06:00Sunrise Live
09:00Mid Morning Lifestyle
10:00El Clon rpt
11:00Tujuane
12:00DW shift
12:30Perspective rpt

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus